1 Samueli 15:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Samueli akasema, “Nileteeni hapa Agagi mfalme wa Waamaleki.” Agagi akamwendea Samueli akiwa mwenye furaha kwani alifikiri, “Uchungu wa kifo umepita.”

1 Samueli 15

1 Samueli 15:23-35