1 Samueli 15:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli akajibu, “Nimefanya dhambi. Hata hivyo, unistahi sasa mbele ya wazee wa watu wangu na Waisraeli. Niruhusu nirudi pamoja nawe ili nikamwabudu Mwenyezi-Mungu, Mungu wako.”

1 Samueli 15

1 Samueli 15:22-35