1 Samueli 15:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa, nenda ukawashambulie na kuangamiza vitu vyote walivyo navyo. Usiwaache hai, ila uwaue wote: Wanaume kwa wanawake, watoto wachanga na wanyonyao, ng'ombe, kondoo, ngamia na punda.’”

1 Samueli 15

1 Samueli 15:1-9