1 Samueli 15:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Samueli alipomwambia Shauli, “Tangu leo Mwenyezi-Mungu ameurarua ufalme wa Israeli kutoka kwako na atampa mtu mwingine miongoni mwa jirani zako aliye bora kuliko wewe.

1 Samueli 15

1 Samueli 15:21-31