1 Samueli 15:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli akamwambia Samueli, “Nimetenda dhambi. Nimeasi amri ya Mwenyezi-Mungu na amri yako, kwa sababu niliwaogopa watu, nikawatii wao.

1 Samueli 15

1 Samueli 15:18-29