1 Samueli 15:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini watu walichukua nyara: Kondoo, ng'ombe na vitu vyote bora vilivyotolewa viangamizwe ili kumtambikia Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, huko Gilgali.”

1 Samueli 15

1 Samueli 15:11-25