1 Samueli 14:47 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya Shauli kuwa mfalme wa Israeli, alipigana na adui zake kila upande: Wamoabu, Waamoni, Waedomu, wafalme wa Soba, na Wafilisti. Kila alipopigana vita, alishinda.

1 Samueli 14

1 Samueli 14:43-52