1 Samueli 14:43 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Shauli akamwambia Yonathani, “Niambie ulilofanya.” Yonathani akajibu, “Nilikula asali kidogo kwa kutumia fimbo yangu. Niko hapa na niko tayari kufa.”

1 Samueli 14

1 Samueli 14:35-44