1 Samueli 14:40 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, Shauli akawaambia, “Nyinyi nyote simameni upande ule, halafu mimi na Yonathani mwanangu tutasimama upande huu.” Wao wakajibu, “Fanya chochote unachoona kinafaa.”

1 Samueli 14

1 Samueli 14:36-48