1 Samueli 14:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata Waisraeli wengine waliokuwa wamejificha kwenye nchi ya milima ya Efraimu, waliposikia kuwa Wafilisti walikuwa wanakimbia, nao pia wakawafuatia na kuwapiga.

1 Samueli 14

1 Samueli 14:21-27