1 Samueli 14:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yonathani akapanda kwa miguu na mikono, na yule kijana akamfuata. Yonathani aliwashambulia Wafilisti akiwaangusha chini huku yule kijana alifuata nyuma akiwaua.

1 Samueli 14

1 Samueli 14:11-15