1 Samueli 13:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walikuwa wanalipa fedha theluthi mbili za shekeli kunoa wembe wa plau na sururu. Na bei ya kunoa shoka au kupata mchokoo ilikuwa theluthi moja ya shekeli.

1 Samueli 13

1 Samueli 13:16-23