1 Samueli 13:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo hapakuwepo na mhunzi yeyote katika nchi nzima ya Israeli, kwani Wafilisti walikusudia kuwazuia Waebrania wasije wakajitengenezea mapanga au mikuki.

1 Samueli 13

1 Samueli 13:14-20