1 Samueli 12:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akajibu, “Mwenyezi-Mungu ni shahidi juu yenu, na mfalme wake mteule leo ni shahidi kuwa mmeniona sina hatia.” Wao wakajibu: “Yeye ni shahidi.”

1 Samueli 12

1 Samueli 12:1-15