1 Samueli 12:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Samueli akamwomba Mwenyezi-Mungu, naye akatuma radi na mvua katika siku hiyo. Watu wote wakamwogopa sana Mwenyezi-Mungu na Samueli.

1 Samueli 12

1 Samueli 12:14-25