1 Samueli 10:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu fulani, mkazi wa mahali hapo, akasema, “Je, baba yao ni nani?” Hivyo kukazuka methali isemayo, “Je, hata Shauli ni mmoja wa manabii?”

1 Samueli 10

1 Samueli 10:11-19