1 Samueli 1:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipomwachisha kunyonya alimpeleka pamoja na fahali wa miaka mitatu, gunia la unga na kiriba cha divai. Hana alimwingiza mtoto kwenye nyumba ya Mwenyezi-Mungu huko Shilo, naye mtoto alikuwa mdogo tu.

1 Samueli 1

1 Samueli 1:17-28