1 Samueli 1:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo Hana akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume. Hana akamwita mtoto huyo Samueli, kwani alisema, “Nimemwomba kwa Mwenyezi-Mungu.”

1 Samueli 1

1 Samueli 1:18-28