1 Samueli 1:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Elkana alikuwa na wake wawili, mmoja aliitwa Hana na wa pili Penina. Penina alikuwa na watoto, lakini Hana hakuwa na watoto.

1 Samueli 1

1 Samueli 1:1-5