1 Mambo Ya Nyakati 9:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wote hawa waliotajwa walikuwa viongozi wa kabila la Walawi, kulingana na koo zao. Wao ndio viongozi walioishi Yerusalemu.

1 Mambo Ya Nyakati 9

1 Mambo Ya Nyakati 9:27-40