1 Mambo Ya Nyakati 8:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Wana wa Aseli walikuwa sita: Majina yao ni Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Aseli.

1 Mambo Ya Nyakati 8

1 Mambo Ya Nyakati 8:36-40