1 Mambo Ya Nyakati 8:3-7 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Bela naye alikuwa na wana: Adari, Gera, Abihudi,

4. Abishua, Naamani, Ahoa,

5. Gera, Shufamu na Huramu.

6. Hawa ndio wazawa wa Ehudi. Hawa walikuwa viongozi wa jamaa za wale waliokuwa wakiishi Geba, lakini wakachukuliwa mateka uhamishoni Manahathi;

7. Naamani, Ahiya na Gera. Gera, baba yake Uza na Ahihudi, ndiye aliyewaongoza kuchukua hatua hiyo.

1 Mambo Ya Nyakati 8