3. Bela naye alikuwa na wana: Adari, Gera, Abihudi,
4. Abishua, Naamani, Ahoa,
5. Gera, Shufamu na Huramu.
6. Hawa ndio wazawa wa Ehudi. Hawa walikuwa viongozi wa jamaa za wale waliokuwa wakiishi Geba, lakini wakachukuliwa mateka uhamishoni Manahathi;
7. Naamani, Ahiya na Gera. Gera, baba yake Uza na Ahihudi, ndiye aliyewaongoza kuchukua hatua hiyo.