1 Mambo Ya Nyakati 8:20-28 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Elienai, Zilethai, Elieli,

21. Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wazawa wa Shimei.

22. Ishpani, Eberi, Elieli,

23. Abdoni, Zikri, Hanani,

24. Hanania, Elamu, Anthothiya,

25. Ifdeya na Penueli walikuwa wazawa wa Shashaki.

26. Shamsherai, Sheharia, Athalia,

27. Yaareshia, Elia na Zikri walikuwa baadhi ya wazawa wa Yerohamu.

28. Hao ndio waliokuwa wakuu wa koo zao kulingana na vizazi vyao. Walikuwa wakuu na waliishi Yerusalemu.

1 Mambo Ya Nyakati 8