1 Mambo Ya Nyakati 7:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Makiri aliwazaa Hupimu na Shupimu. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri alikuwa Selofehadi. Selofehadi alikuwa na mabinti peke yake.

1 Mambo Ya Nyakati 7

1 Mambo Ya Nyakati 7:12-18