1 Mambo Ya Nyakati 6:44 Biblia Habari Njema (BHN)

Ethani wa ukoo wa Merari, alikuwa kiongozi wa kundi la tatu la waimbaji. Ukoo wake kutokana na Lawi ni kama ifuatavyo: Ethani, mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,

1 Mambo Ya Nyakati 6

1 Mambo Ya Nyakati 6:42-54