1 Mambo Ya Nyakati 6:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Walifanya kazi yao ya kuimba mbele ya hema takatifu la mkutano hadi wakati mfalme Solomoni alipojenga hekalu la Mwenyezi-Mungu huko Yerusalemu. Waliutekeleza wajibu wao barabara, kwa zamu.

1 Mambo Ya Nyakati 6

1 Mambo Ya Nyakati 6:25-35