1 Mambo Ya Nyakati 5:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mungu wa Israeli akamfanya Pulu, mfalme wa Ashuru, (ambaye pia alijulikana kama Tiglath-pileseri), aivamie nchi yao na kuwachukua mateka hao Wareubeni, Wagadi na nusu Manase ya mashariki mpaka uhamishoni huko Hala, Habori na Hara, kando ya mto Gozani, ambako wamekaa mpaka leo.

1 Mambo Ya Nyakati 5

1 Mambo Ya Nyakati 5:25-26