1 Mambo Ya Nyakati 5:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoeli ndiye aliyekuwa mwanzilishi wa ukoo ulioongoza, wa pili Shafamu. Yanai na Shefati walikuwa waanzilishi wa koo nyingine huko Bashani.

1 Mambo Ya Nyakati 5

1 Mambo Ya Nyakati 5:5-21