1 Mambo Ya Nyakati 4:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yabesi alimwomba Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, nakusihi unibariki na kuipanua mipaka yangu. Mkono wako uwe pamoja nami na unilinde kutokana na jambo lolote ovu, lisiniumize.” Naye Mungu akamjalia yale aliyoomba.

1 Mambo Ya Nyakati 4

1 Mambo Ya Nyakati 4:8-14