1 Mambo Ya Nyakati 4:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Wana wa Yuda walikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.

2. Reaya, mwana wa Shobali, alimzaa Yahathi, aliyekuwa baba yake Ahumai na Lahadi, hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

1 Mambo Ya Nyakati 4