1 Mambo Ya Nyakati 29:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakamtolea tambiko Mwenyezi-Mungu. Siku ya pili yake wakamtolea sadaka za kuteketezwa: Mafahali 1,000, wanakondoo 1,000, pamoja na sadaka zao za vinywaji na tambiko nyingi kwa ajili ya Waisraeli wote.

1 Mambo Ya Nyakati 29

1 Mambo Ya Nyakati 29:12-27