1 Mambo Ya Nyakati 29:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Daudi akaumbia ule mkutano wote uliojumuika, “Solomoni, mwanangu, ambaye peke yake amechaguliwa na Mungu, bado yungali mdogo, na hana uzoefu mwingi, na kazi hii ni kubwa. Nyumba atakayoijenga si ya mwanadamu, bali ni ya Mungu, Mwenyezi-Mungu.

1 Mambo Ya Nyakati 29

1 Mambo Ya Nyakati 29:1-11