1 Mambo Ya Nyakati 27:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyu ndiye Benaya aliyekuwa mtu shujaa katika kundi la watu 30, na kiongozi wa kundi hilo. Naye Amizabadi mwanawe, alikuwa kamanda.

1 Mambo Ya Nyakati 27

1 Mambo Ya Nyakati 27:3-16