1 Mambo Ya Nyakati 27:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Ahithofeli alipofariki, mahali pake palichukuliwa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiathari. Yoabu alikuwa kamanda wa jeshi la mfalme.

1 Mambo Ya Nyakati 27

1 Mambo Ya Nyakati 27:28-34