1 Mambo Ya Nyakati 27:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Yonathani, mjomba wa mfalme Daudi, alikuwa mshauri na mtu mwenye ufahamu na mwandishi. Yeye na Yehieli mwana wa Hakmoni waliwafunza wana wa mfalme.

1 Mambo Ya Nyakati 27

1 Mambo Ya Nyakati 27:22-34