1 Mambo Ya Nyakati 27:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Hii ndiyo orodha ya wakuu wa makabila ya Israeli: Wa Wareubeni, Eliezeri mwana wa Zikri; Eliezeri ndiye aliyekuwa ofisa mkuu; wa Wasimeoni, Shefatia mwana wa Maaka;

1 Mambo Ya Nyakati 27

1 Mambo Ya Nyakati 27:14-24