1 Mambo Ya Nyakati 26:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Ladani, mmoja wa ukoo wa Gershoni, alikuwa babu wa baadhi ya jamaa, miongoni mwao ikiwamo jamaa ya mwanawe Yehieli.

1 Mambo Ya Nyakati 26

1 Mambo Ya Nyakati 26:20-22