1 Mambo Ya Nyakati 24:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Daudi aliwapanga wazawa wa Aroni katika makundi kufuatana na huduma zao. Alisaidiwa kufanya hivyo na Sadoki, mzawa wa Eleazari, na Ahimeleki, mzawa wa Ithamari.

1 Mambo Ya Nyakati 24

1 Mambo Ya Nyakati 24:2-8