1 Mambo Ya Nyakati 23:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulingana na maagizo ya mwisho aliyotoa Daudi, Walawi wote waliofikia umri wa miaka ishirini waliandikishwa.

1 Mambo Ya Nyakati 23

1 Mambo Ya Nyakati 23:21-32