1 Mambo Ya Nyakati 23:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Hao ndio wana wa Lawi kulingana na koo zao. Kila mmoja wao aliyetimiza umri wa miaka ishirini na zaidi, aliandikishwa kwa jina, na alishiriki katika huduma ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

1 Mambo Ya Nyakati 23

1 Mambo Ya Nyakati 23:20-28