1 Mambo Ya Nyakati 23:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu; Rehabia, naye alikuwa kiongozi. Lakini Rehabia alikuwa na wana wengi sana.

1 Mambo Ya Nyakati 23

1 Mambo Ya Nyakati 23:14-25