1 Mambo Ya Nyakati 23:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Yahathi ndiye aliyekuwa mkuu wao, akifuatiwa na Ziza. Lakini Yeushi na Beria, kwa vile hawakuwa na wana wengi, walichukuliwa na ukoo mmoja.

1 Mambo Ya Nyakati 23

1 Mambo Ya Nyakati 23:3-19