1 Mambo Ya Nyakati 21:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yoabu akasema, “Mwenyezi-Mungu na awaongeze Waisraeli mara mia kuliko walivyo sasa! Bwana wangu mfalme, kwani hawa wote si watumishi wako? Kwa nini basi unataka kufanya jambo ambalo litawatia Waisraeli katika hatia?”

1 Mambo Ya Nyakati 21

1 Mambo Ya Nyakati 21:1-11