1 Mambo Ya Nyakati 20:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata ikawa katika mwanzo wa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi na kuteka nyara nchi ya Waamoni, pia akaenda na kuuzingira Raba. Lakini Daudi alibaki huko Yerusalemu. Naye Yoabu aliushambulia Raba na kuuharibu;

1 Mambo Ya Nyakati 20

1 Mambo Ya Nyakati 20:1-2