1 Mambo Ya Nyakati 2:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Wana wa Yuda waliozaliwa na Bethshua, mkewe Mkanaani, walikuwa Eri, Onani na Shela. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, basi Mwenyezi-Mungu akamuua.

1 Mambo Ya Nyakati 2

1 Mambo Ya Nyakati 2:1-7