1 Mambo Ya Nyakati 2:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya Hesroni kufariki, Kalebu alimwoa Efratha, mjane wa Hesroni, baba yake. Efratha alimzalia Kalebu mwana jina lake Ashuri, aliyekuwa mwanzilishi wa mji wa Tekoa.

1 Mambo Ya Nyakati 2

1 Mambo Ya Nyakati 2:21-25