1 Mambo Ya Nyakati 2:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kalebu, mwana wa Hesroni, kutokana na wake zake wawili, Azuba na Yeriothi, aliwazaa Yesheri, Shaobabu na Ardoni.

1 Mambo Ya Nyakati 2

1 Mambo Ya Nyakati 2:10-22