1 Mambo Ya Nyakati 18:16-17 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Sadoki, mwana wa Ahitubu na Ahimeleki, mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Shausha alikuwa katibu;

17. na Benaya, mwana wa Yehoyada alisimamia askari walinzi Wakerethi na Wapelethi; wana wa Daudi walikuwa maofisa wakuu katika utawala wake.

1 Mambo Ya Nyakati 18