1 Mambo Ya Nyakati 17:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo basi, mwambie mtumishi wangu Daudi: ‘Mwenyezi-Mungu wa majeshi anasema hivi: Nilikutoa malishoni ulipokuwa unawachunga kondoo, ili uwe mkuu wa watu wangu Israeli.

1 Mambo Ya Nyakati 17

1 Mambo Ya Nyakati 17:6-13