1 Mambo Ya Nyakati 16:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, hiyo ikawa siku ambayo kwa mara ya kwanza, Daudi alimpa Asafu na ndugu zake Walawi wajibu wa kumwimbia Mwenyezi-Mungu nyimbo za shukrani.

1 Mambo Ya Nyakati 16

1 Mambo Ya Nyakati 16:1-10